Marehemu Julius Caesar Mwasongwe
08/08/1966 - 15/02/2011
Sekela Davis Mwaikambo pamoja na familia yote ya Mwasongwe/Mwaikambo wanapenda kuwakaribisha kwenye misa maalum ya shukrani ya ndugu yao mpendwa Julius Mwasongwe itakayo fanyika siku ya jumapili tarehe 12/02/12 Saa 4:30 asubuhi katika Kanisa la Barking Baptist, Linton’s road, Barking IG11.
Karibuni sana tujumuike pamoja kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Amen.
OMG Rest in peace Julius
ReplyDeleteI didn't know until I saw this today. Poleni sana Sekela and family
I'm so shocked and sad
Rest in peace julius my friend
Resr in beautiful Peace Julius
ReplyDeleteRIP my friend Julius gone too soon.
ReplyDeleteAkinyi O
Rest in Peace Julius
ReplyDeletemiss you soo much,Rest in peace darling Jules
ReplyDelete