Marehemu Julius Caesar Mwasongwe
08/08/1966 - 15/02/2011

Sekela Davis Mwaikambo pamoja na familia yote ya Mwasongwe/Mwaikambo wanapenda kuwakaribisha kwenye misa maalum ya shukrani ya ndugu yao mpendwa Julius Mwasongwe itakayo fanyika siku ya jumapili tarehe 12/02/12 Saa 4:30 asubuhi katika Kanisa la Barking Baptist, Linton’s road, Barking IG11.
Karibuni sana tujumuike pamoja kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. OMG Rest in peace Julius

    I didn't know until I saw this today. Poleni sana Sekela and family

    I'm so shocked and sad

    Rest in peace julius my friend

    ReplyDelete
  2. Resr in beautiful Peace Julius

    ReplyDelete
  3. RIP my friend Julius gone too soon.


    Akinyi O

    ReplyDelete
  4. Rest in Peace Julius

    ReplyDelete
  5. miss you soo much,Rest in peace darling Jules

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...