Rais wa Zanzibar Dk, Ali Mohamed Shein akisalimiana na Masheikh na waheshimiwa mbalimbali alipohudhuria katika Kisiwa cha Tumbatu Zanzibar kwa ajili ya kuzindua Maulidi ya Kusherehekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW).
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akielekea katika sehemu aliyotaharishiwa kwa ajili ya Uzinduzi wa Maulidi hiyo Kisiwa cha Tumbatu Zanzibar.
Rais wa Zainzibar Dk Ali Mohamed Shein (watatu kutoka kushoto) akiwa pamoja na Masheikh na Viongozi mbalimbali waliohudhuria Uzinduzi wa Maulid ya kusherekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) katika kisiwa cha Tumbatu Zanzibar.
Uzinduzi wa Maulidi Huenda sambamba na kupandishwa Bendera ya Dini kama Ishara ya kusherehekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW).
Sheikh Othman Maalim akitoa mawaidha katika Uzinduzi wa Maulid ya kusherekea kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) katika kisiwa cha Tumbatu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akiwahutubia Waislamu na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Msikiti mkuu wa Tumbatu Zanzibar alipozinduwa Maulidi inayofanyika kila mwaka kisiwani humo.PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI - MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Tumswalie Mtume (SAW). Hakika inapendeza.

    ReplyDelete
  2. Allahu MAsswalli wasallim Alee... kweli imependeza na inasisimua ! wish I was there.!!!! MAshaALLAh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...