Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Dah! Kazi ipo sasa.

    ReplyDelete
  2. Naachie ngazi ya Urais. Waafrika imekuwa kioja kila mganga adai kuoteshwa, wakati wazungu na jamii nyengine hutangaza tabibu zao baada ya tafiti makini.

    ReplyDelete
  3. hivi ni kweli?? nani aliyetumia atuthibitishie kapona???? jamani tumechoka na hizi dawa ambazo watu wanaoteshwa kila siku.. Sawa we are inneed ila kuna ukweli wowote tufunge safari au ndo kwenda kujaribu bahati????

    pls anayefahamu chochote atujuze

    ReplyDelete
  4. yaani wee acha tu si ya kusema mpka rais wa Gambia kisha kuwa sangoma sijui itakuwaje sasa. KAMA UCHAWI UPO KWA NINI MUSIUWEKE HADHARANI VIZAZI VIJIFUNZE TEKNOLOJIA ZA SIRI ILI TUWASHINDE WAZUNGU? kwa nini watu wanadedi deile kama mnaweza kutibu mpaka ukimwi na kansa, jamaniii!!!!!

    ReplyDelete
  5. wabongo kwa matangazo ... hawajambo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...