Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Ezekiel Maige amemteua Dk. Casta Tungaraza (pichani) kuwa Balozi wa Hiyari wa Utalii katika Nchi ya Australia kuanzia tarehe 23.3.2012.

Akiwaandikia viongozi wa Jumuia ya Watanzania (Western Australia), Balozi wa Tanzania nchini Japani anayesimamia pia Australia, Mhe. Salome T. Sijaona alionyesha furaha yake na kumtakia balozi huyu mpya mafanikio katika kuitangaza Tanzania katika nyanja za utalii.

Dr Tungaraza hivi majuzi tu aliingizwa katika Hall of Fame ya wanawake huko Australia na pia kupewa Nishani ya Uwanaharakati katika Jamii huko huko Australia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Naomba nielimisheni maana ya "Balozi wa Hiyari wa Utalii"
    Mdau

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tourism and Goodwill Ambassador

      Delete
  2. Congratulation Sister Mwenyezi mungu azidi kukufungulia njia.
    Lil Bro Saleh UK.

    ReplyDelete
  3. Hongera dada Casta, ninakumbuia ulikuwa kichwa sana pale Korogwe Girls. Fly our flag go go go lady!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante kwa salamu - inaelekea tulikuwa wote Korogwe...

      Shukran kwa salamu zako za sasa na za awali.


      Casta

      Delete
  4. paul lyimoMarch 29, 2012

    hongera sana dada yetu

    ReplyDelete
  5. Hongera Sana Auntie Casta, ubarikiwe sana!

    ReplyDelete
  6. Maria TungarazaJuly 19, 2012

    Hongera sana Casta. Dada Maria

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...