Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Mh. Sophia Simba (mbele mwenye kofia) akiongoza maandano ya Wanawake kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani huku akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Rais IKULU.Maandamano haya yaliishia kwenye viwanja vya mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam ambapo yalipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kweli Wanawake tupo juu tumependezaje hapooo WERAAAAAAAA

    ReplyDelete
  2. Kila kesho ina kesho yake.
    Kesho ikifika mtasema mnaisubiri kesho, halafu kesho inayofuatia ikifika mtasema tena mnaisubiri kesho, kesho inayofuatia tena ikifika mtasema mnaisubiri kesho-yake. Kwasababu hii kesho haifikiki. Kwa mfano, nogesheni huo mstari wa mwisho kwenye bango kwa kuandika:

    ‘Wasichana Taifa la Leo Waendelezeni’

    Sikukuu njema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...