Meneja wa Uhusiano wa shirika la hifadhi ya jamii NSSF, Eunice Chiume akikabidhi jezi kwa Mwakilishi wa timu ya TBC,Chacha Maginga kwa ajili ya michuano ya kombe la NSSF CUP inayotarajiwa kuanza siku ya Jumamosi kwenye viwanja vya TCC Sigara,Chang'ombe na Chuo Kishiriki cha Elimu Chang'ombe DUCE jijini Dar, hafla hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont Hoteli,Benjamin Mkapa Tower jijini Dar es salaam.
Mwakilishi wa timu ya mabingwa watetezi wa kombe hilo timu ya Jambo Leo maarufu kama "Wagumu Stars" akipokea jezi kutoka kwa Meneja Uhusiano wa NSSF Eunice Chiume kwa ajili ya timu yao
Mwakilishi wa timu ya wanawake ya Netboli kutoka kampuni ya Mwananchi Communication,Kalunde akipokea jezi za timu yao kutoka kwa Meneja Uhusiano wa NSSF,Eunice Chiume.Picha na Full Shangwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...