Meneja wa Uhusiano wa shirika la hifadhi ya jamii NSSF, Eunice Chiume akikabidhi jezi kwa Mwakilishi wa timu ya TBC,Chacha Maginga kwa ajili ya michuano ya kombe la NSSF CUP inayotarajiwa kuanza siku ya Jumamosi kwenye viwanja vya TCC Sigara,Chang'ombe na Chuo Kishiriki cha Elimu Chang'ombe DUCE jijini Dar, hafla hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont Hoteli,Benjamin Mkapa Tower jijini Dar es salaam.
Home
Unlabelled
michuano ya kombe la NSSF kuanza kutimua vumbi jumamosi hii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...