Home
Unlabelled
Mifuniko yote kwishneiii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Biashara imesha hodhiwa na Wadau wa vyuma Chakavu hukoooo Mitaa ya Gerezani na Jangwani Kariakoo.
ReplyDeleteWala msihangaike nendeni maeneo ya Gerezani na Jangwani Kariakoo huko kwenye watu wenye kupenda urahisi wa maisha mtawakamata nayo mifuniko!
ReplyDeleteHatari kwa watembea na miguu. Hivi hawa wezi hawajui atakae umia ni mwenzao? mpanda gari ata athirika vipi?
ReplyDeleteMwewe wa Okota okota wamesha jisevia hiyo mifuniko.
ReplyDeleteLa muhimu muwahi Gerezani na Jangwani Kariakoo kwenye mauzo za vyuma chakavu 'Skrepa' !
Jamani hizi okota okota sasa zimezidi,,,
ReplyDeleteYaani hata Mifuniko ya Mifereji na Makaro ya Barabara mtu atasema ameokota?