Muandaaji wa Sherehe ya siku ya Mwanamke lenye mlengo wa kuadhimisha siku ya wanawake Duniani,Shamim Mwasha akizungumza machache wakati wa hafla hiyo ambayo imefana sana usiku huu kwenye hoteli ya Serena,Jijini Dar es Salaam
MC wa Hafla hiyo,Regina Mwalekwa akimtambulisha,Shamim Mwasha ambaye ni Muandaaji wa Sherehe ya Mwanamke lenye mlengo wa kuadhimisha siku ya wanawake Duniani iliyofanyika usiku huu kwenye hoteli ya Serena,Jijini Dar es Salaam. 

Kwa mapicha kede kede

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. na kakuku mguu wanawake aisee hao ndo kina mama wanafundisha nini hapo sasa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...