LIGI YA MABINGWA KATI YA YANGA NA ZAMALEK UNAENDELEA HIVI SASA NA HADI TUNAENDA HEWANI YANGA WAMEFUNGWA BAO 1-0 NA HAFTAIMU INAKARIBIA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. lETENI HABARI ZA TAIFA KUBWA SIMBA....

    ReplyDelete
  2. Timu zetu kubwa zinaboronga halafu tunategemea miujiza timu ya Taifa.

    Yanga:Website yenu ina habari za mwaka 2010,haa haaa.Kocha wa Yanga ni Sam Timbe,nk!!Ebu ifanyie utaratibu jamani

    David

    ReplyDelete
  3. Michuzi nakufahamisha kama hujasikia kuwa, jana Bwawa la Maini walilala 2-1 mbele ya Arsenal. Naomba iweke humu ili watu wengine waisome.

    ReplyDelete
  4. bwana Michuzi tuwekee ebu video bwawa la maini walivolala bwana michuzi 2-1 jana na vijana wachanga arsenal nakuomba kwa hisani yako kaka michuzi ,mdau Belfsst

    ReplyDelete
  5. Kiama kimeshuka!

    Yanga wamekula mweleka Misri sasa warudi kwenye Siasa zao za CCM,,,na Bwawa la Maini UK limeingia Luba baada ya mtutu wa Bunduki wa Arsenal kuachia risasi 2 halafu baruti ya risasi ikazaa Luba Bwawani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...