MAREHEMU MZEE PETER LUGALABAMU

Kwamujibu wa Mtoto wa marehemu Kanali Adolf Mutta ni kwamba watu wataanza kupata chakula ifikapo saa tano na nusu hadi saa sita na kufuatiwa na misa takatifu ya kumuombea marehemu saa sita nanusu hadi saa nane na baada ya misa saa nane hadi saa tisa itakuwa ni nafasi ya watu kuaga mwili wa marehemu na saa kumi safari itaanza kuelekea karagwe Bukoba na siku ya jumatano itakuwa nisiku ya mazishi ambapo ratiba itaanza saa saba mchana hadi saa kumi alasili,hivyo tunaomba tushirikiane katika safari ya milele ya baba yetu mpendwa Mzee Rugarabamu 

BWANA AMETOA BWANA AMETWA JINA LAKE LIHIMIDIWE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...