Once upon the time a man called Edward Saidi Tingatinga painted under Baobab tree in Dar es Salaam. It is not fair tale, it was in 1968. He was a very successful painter. Until his death he taught 6 students who later taught other painters. Now there are hundreds of painters in Tanzania! The definition of Tinga Tinga is difficult to grasp since the paintings are very different today. Technically the Tinga Tinga paintings are painted by industrial enamel colors. For More CLICK HERE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Baada ya miaka 100 hizo picha zake zitatafutwa kwa mamilioni ya Tsh!!!

    ReplyDelete
  2. Pole sana Said Tingatinga. Wewe mwenyewe umekufa masikini fakiri lakini generation mpya inafaidika.

    Sasa angalieni sana Wakenya wasije kujidai na wao wanatengeneza Tingatinga. Hakikisheni mumepata hakimiliki kama hamujafanya hivyo.

    ReplyDelete
  3. Badaye miaka 100?! Hata leo picha za Tingatinga zinauzwa kwa bei 10 mil Tsh.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...