Sajent Ali Khasim wa Kikosi cha Usalama Barabarani Zanzibar akitoa elimu juu ya matumizi Salama ya Barabara kwa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiembesamaki mjini Zanzibar.
Koplo Othman Daima wa Kikosi cha Usalama Barabara Zanzibar akitoa elimu ya matumizi salama ya barabara kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiembesamaki mjini Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. this is very very good

    ReplyDelete
  2. hii nimeipenda sana, niliwai kuona kwa wenzetu ujerumani, huwa askari wanaenda kindergarden kufanya mazoezi ya sheria za usalama barabarani na watoto wanaoingia darasa la kwanza, tatizo huku kwetu madereva sasa hawajui sheria hao watoto ata wakijua haitasaidia bila ya kunuo madereva

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...