Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika ziara mkoani humo leo.
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akitembelea maeneo ya Skuli ya ukutini baada ya kuzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika ziara mkoani humo leo.Picha na Ramadhan Othman,Pemba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. ankal salamu zako.

    napenda kuchukua fursa hii kukuomba utuombee kwa ramadhan othman anapoleta mapichaz aweke mengi kidogo ya mheshimiwa Rais wa Zanzibar Dr. Shein kama inavyokuwa kwa Mhesimiwa Rais wa Tanzania Dr. Kikwete.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...