Kocha wa zamani wa Taifa Stars Marcio Maximo akiwa na wadau alipokutana nao jijini Sao Paulo, Brazil.
Home
Unlabelled
Kocha Marcio Maximo alipokutana na wadau jijini Sao Paulo, Brazil
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
I love you Bro Michuzi
ReplyDeleteAlipokea Taifa Stars ikiwa ya 150 kwa ubora wa soka akatupandisha mpaka tukawa kwenye mitaa ya mia mia.
ReplyDeleteWabongo kwa kuogopa mafanikio wakamtimua na kumleta ambaye anaturudisha 150 kwa kasi. Tumetulia tuli kama maji ya mtungi.
Watanzania ni kama tuna laana ya kuogopa mafanikio. Ni kama ngamia anayesubiri kuchinjwa...au mbwa anayetaka kuliwa na chatu.
Hapo ndiyo lugha gongana. Mh JK ni kienglish na hao ni kiportuguese kwa kwenda mbele.
ReplyDeleteIla kwenye fedha hakuna kugombana.
Michuzi wakati gani unafanya kazi maana hapo badala ya wewe kupiga picha unapigwa wewe?
ReplyDeleteCosaaa bin Gazaaaaaa, nakuona unafurahia kweli kweli, well done Men!!! ...by Chilly
ReplyDeleteAma kweli mganga hajigangi....
ReplyDelete