UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, Kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007, Kanuni ya 86 (5), naomba kuwasilisha mbele ya Bunge lako Tukufu, maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, 2012 (The Social Security Laws (Amendments) Act), 2012.

Mheshimiwa Spika, Kamati ilipata nafasi ya kujadili Muswada huu katika vikao vilivyofanyika katika Ofisi ndogo ya Bunge Dar es Salaam. Katika kikao cha kwanza kilichofanyika tarehe 27/03/2012, Naibu Waziri wa Wizara ya Kazi na Ajira Mheshimiwa Dkt. Milton M. Mahanga, Mb alitoa maelezo ya jumla yanayohusu madhumuni ya Muswada. Kikao hiki pia kiliwashirikisha wadau mbalimbali miongoni mwao wakiwemo:-

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...