Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Vicky Kamata leo wamezuru Mnara wa kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Marehemu Edward Sokoine, eneo la Morogoro, ambako alifariki dunia katika ajali ya gari. Pichani, Nape na Viki wakisoma maandishi kwenye mnara huo. Walikuwa wanatoka Dodoma Kwenda Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
NAPE NA VICKY WAZURU MNARA WA KUMBUKUMBU YA SOKOINE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...