Assalam allaikum Ankali michuzi. tafadhali nisaidie kutundika tangazo langu la kazi ili niweze kuanza huu ujasiliamali wangu.

natafuta kijana  wa kitanzania ambae ataweka maskani Dodoma kwa ajili ya kazi ya Bakery. Awe amesomea VETA na ana ujuzi wa wa kutengeneza bidhaa mbalimbali zinazotokana na unga wa ngano. awe mchapa kazi na awe tayari na mwepesi wa kujifunza.

Kwa mawasiliano ambaye atakuwa na sifa hizo apige na.             0788 - 406644      
Shukrani ankali michuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wasomi MPO?

    Naona taarifa imetoka tangu jana kimyaaa, sasa je akija Mkenya, Mnyarwanda,Mmalawi au Mganda akaomba akapata mtamlaumu nani?

    Kazi ni kazi bora mkono wende kinywani ili mradi iwe halali!

    Unaweza kuanzia Bakery ya Mikate Dodoma halafu ukatafuta pengine huku ukijishikiza!

    Tena kwa sehemu ndogo kama hii ndio utajifunza mengi sana na ya faida kitaaluma,,,sio utegemee kuanzia juu kama TRA au Vodacom na Benki kwa vile umesoma.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...