Ujumbe wa Serikali ya Taifa ya Mpito ya Libya, ukiongozwa na Mheshimiwa Mahdi M Gaziri (watatu kushoto.), Mkuu wa Ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali hiyo,ukiagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete baada ya ujumbe huo kuwa umekutana naye Ikulu, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita (Picha na Ikulu)
Home
Unlabelled
Ujumbe wa Serikali ya Mpito ya Libya wakutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Vizuri JK wenzetu hawa Libya wanayo mafuta na wamekuwa wakichimba miaka nenda miaka rudi wakati sisi tunayo ila yapo ktk 'makabrasha' tukae nao vizuri Kibiashara ili tunufaike zaidi ya ilivyo kuwa enzi za Hayati!
ReplyDeleteHawa jamaa Walibya smart guys sana na kwao wameendelea sana licha ya uharibifu uliotokana na vita mwaka jana, tukae nao vizuri ili tupate faida.
ReplyDeleteMbona mnatuonyesha picha tu bila kutueleza sababu za ziara yao hapa kwetu? KULIKONI?
ReplyDeleteKiko wapi?Nakumbuka wakati jamaa wanaelekea kuchukua nchi,kuna juha mmoja alikua anahojiwa na BBC,akaulizwa vipi uhusiano wenu utakuaje na nchi za ki Africa ambazo nyingi zimegoma kuutambua utawala wenu?Lile juha likajibu hao wanampenda Gadafi kwa kua alikua anawchotea bure mafuta ya walibya....na wala hatuwahitaji kuwa marafiki zetu!!
ReplyDelete