Ile kauli mbiu inayosema kwamba "Palipo na Shimo,Panda Mti na Umwagilie" leo imetoweka ghafla katika eneo hili,kwani Kamera ya Globu ya Jamii imepita tena leo katika lile eneo la barabara iliyokuwa imepandwa Mti na kukuta mti huo umeng'olewa na badala yake kumezungushiwa utepe kuashiria kwamba kuna uzinduzi kip left mpya utakaofanyika eneo hilo.Bado haijafahamika kuwa ni nani atakuja kufanya uzinduzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Too funny:)

    US Blogger

    ReplyDelete
  2. hahaha mdau aliyetuma post amenifurahishaila wanaonekana wanasoma hizi post na kuact

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...