You were a friend and an Icon that has left too soon!
You were the unsung hero that touched millions, within the short time that you lived.
You were the unsung hero that touched millions, within the short time that you lived.
From our nation’s HIGH corridors of power, to the dilapidated dwellings of Mabibo, you bridged the rift within our societal divide with your soft touch.
Your talent broke the political and religious barriers, bringing joy, thrill, and smiles into our hearts alike.
And so my friend, I must say that you have left behind an army of followers, and that of young people that depended upon your talent to earn their bread.
You have a left behind a promising battalion of “talent-orphans” that will NEVER understand why death lowered the curtains on their faces before the sunset! You have left us in deep sorrow and despair.
In your resting PLACE, know that in our hearts and minds, our memory on how you touched our lives will never fade, until we meet again at the end of our earthly pilgrimage.
Even though we are mourning, the bitter truth is that, our tears will never wash away our pain; neither will they fill the void that you have left behind.
Even in death, you have united our nation like never before.
In due time, your story will be an heroic tale of a legend, a celebrated brother, and a dear friend that once touched millions of lives before his life would tragically, and abruptly come to an end; bringing to a close, a thrilling chapter that had just been opened
In due time, your story will be an heroic tale of a legend, a celebrated brother, and a dear friend that once touched millions of lives before his life would tragically, and abruptly come to an end; bringing to a close, a thrilling chapter that had just been opened
Our HERO!
May the Almighty REST your soul in eternal peace, knowing that, however sad and painful this might be, my buddy, you are just ahead of us in this long, torturous, and agonizing earthly pilgrimage. I am sorry I can’t make it to pay my last respect. However, in my heart, you are our unsung HERO!
Amen
Mungu Ibariki Tanzania
John Mashaka
HUYU NDIYE JOHN MASHAKA. ANAPOGUSA KALAMU, KALAMU INAFANYA KWELI. THIS IS THE FIRST TRIBUTE I CAN SAY EVER MADE ME CRY IN MY LIFE. JOHN YOUR TALENT AND ABILITY TO PLAY WITH PEN IS AMAZING.YOU ARE INCREDIBLE HONESTLY SPEAKING. I AM SURE STEVE KANUMBA CAN READ YOUR POEM. AMAZING KUSEMA KWELI. SOMENONE SAID HERE ONE TIME THAT TANZANIA NEED ONLY 10 OF MASHAKA THEN WE ARE GOOD. POLE SANA KUMPOTEZA RAFIKI YAKO MPENDWA. WHEN ALL SAID AND DONE PLEASE JOHN, WELCOME BACK TO JAMII BLOG, BRING US ECONOMIC ATIKOS BECAUSE WE NEED THEM ESPECIALLY THIS TIME WHEN PEOPLE CANT AFFORD THE BASICS, MAYBE SOMEONE WILL PEEP HERE AND BORROW YOUR IDEA. R.I.P STEVE KANUMBA
ReplyDeleteankal. ili kumuenzi kanumba, mngechukua huu waraka wa mashaka mkasoma au kuuifadhi kwenye kumbukumbu za kanila, inagusa sana kusema kweli. rip bro steven kanumba
ReplyDeleteJamani moyo wangu unatoa machozi yanaishia ndani... Unateketea kabisa kwa maumivu...lini jamani nitazoea kifo cha kanumba..
ReplyDeletetwo great men of tanzania.two great heros kanumba rest in peace
ReplyDeleteKifo kipo na ndio Mipango wa Mungu.
ReplyDeleteLakini zaidi ni yale mazowea ya kumwona kijana angalau ktk Sinema zake ndani ya Runinga.
Zuidi ya masikitiko ni kuwa anaondoka Duniani akiwa ndio maisha yake yanapata mwelekeo wa Mafanikio, huku akiwa Kijana mdogo na akiwa anategemewa nyumbani !
johnson mashaka ww pia ni shujaa kama rafikiyo kanumba the great. utunzi wako wa huu utenzi kumtukuza kanumba umetukuka tunashukuru michuzi katuwekea waraka mzito kama huu. nimetokwa na machozi kusoma haya maneno yako. itabidi serikali ikuajiri kutoa utenzi watu mashuhuru wanapofariki. unakipaji cha ukweli ila usituache sisi pia kama mayatima, rudi ulingoni kutuburudisha na mijadala yako mikali kaka. pole kufiwa narfiki yako
ReplyDeleteJOHNSON MASHAKA YOU ARE A LEGEND. YOU ARE VERY CREATIVE AND THINKING BIG. THIS IS A MASTERPIECE OF A TRIBUTE THAT IS GLORY MR KANUMBA. YOU ARE GREAT MAN TOO. HOPE YOU CAN SEND IT TO MICHUZI AS WELL. THANK YOU SO MUCH FOR HONORING KANUMBA
John Mashaka, nimekuwa nikikuskia na kusoma, na hata kusikia uchambuzi wako wa kiuchumi uliotukuka kwenye vyombo vya habari za ndani na nje ya nchi, ila ningependa kuchukua wasaa huu kukupongeza kwa kipaji cha kipekee ulichonacho. Umesoma na kuelemika. Hakika hiki ni kipaji cha ajabu ulichonacho. Nakumbuka ulivyompa Gitau Warigi wa Kenya maneno mazito pale alipojaribu kututukana watanzania. Ila kwenye hili, lazima nikiri kwamba mpangiliowako wa maneno ni mzuri sana. Lugha uliyotumia ni lugha stahiki. You are Amazing John. Pamoja na watanzania wengine tunaungana na wewe kuomboleza kifo cha kijana wetu ambaye dhahiri ni rafiki yako wa karibu. Alafu wimbo ulioutumia umeendana sana na maandiko yako. Nadhani una kipaji kingine ambacho haujakigundua kwani busara unazoandika ni busara hadimu kwa vijana makamo yako. Kanumba popote pale alipo anatambua waliokuwa marafiki wake wa ukweli, kwa maana kitendo chako cha kuchukua muda wako na kuandika maneno ya kumtukuza mwenzio stahili hii inadhiirisha umma wa kitanzania kiwango cha urafiki wenu. Wote ndugu na marafiki za kanumba, nawapeni pole katika wakati huu mgumu wa maombolezo
ReplyDeletemaneno mazito
ReplyDeletewimbo unatoa machozi
duhhh
Asilimia kubwa humu ni Wanafiki marafiki wa kweli wa kanumba wamejulikana humu humu na Wanafiki tumewajua humu humu kwenye blog ya ankal michuzi. Watu baada ya kumtukana akiwa hai eti mshamba hajui kingereza mara sijui kachemsha big brother2 mara vile Leo ndiyo wakwanza kuposti comments humu ndani. Marafiki wa kweli wa kanunba ni michuzi ridhiwani na baba yake jakaya, mnauye samwel sita Kwanza viongozi wengine wamejitokeza baada ya kuona chief kikwete ameenda. Hakuna kitu wengine tungeacha ku score points baada ya mtu kufa. Mbona Haya mapenzi hamkumpa wakati Yupo hai. Akina michuzi tunakubari kabisa ni marafiki wa kweli lakini siyo kupiga picha tu na wengine kwenda msibani wakati kikwete ameenda then mna lia Ati kanumba mtu wa watu. Unafiki tu mtasutwa siku moja. Mpaka aibu eti kanumba hero kanumba hivi why did you wait until he's dead to call him our son hero?
ReplyDeleteRIP Kanumba. Namvulia kofia Bw. Mashaka kutokana na kipaji chake cha kuweza kutumia maneno kugusa hisia za watu. yaani hii makala ni kiboko. RIP kanumba
ReplyDeletehuyu yohana mashaka wa misupu ni jinias na ni rafiki ya kanumba wa siku nyingi sana. walikuwaga big brother pamoja hapo ndo walianza kufahamiana na misupu yaani walipotoka sauzi kwenye big brother
ReplyDeletekusema kweli kanumba ameniumiza roho yangu kupita kiasi, watoto wangu walikuwa wanapenda sana movie zake na hata kale kadogo miaka mitano kanisikitika, ananiuliza baba wamemfanyaje kanumba. Mungu amlaze pema peponi Kanumba taa ya jamii iliyozimika ghafla kwa upepo wa kimbunga.
ReplyDelete