Mkurugenzi wa Tanzania Mitindo House Khadija Mwanamboka (wa pili kulia) akiwa na wabunifu mitindo wenzie aliowaalika katika hafla fupi ya kusherehekea Miaka Mitano ya taasisi hiyo usiku wa kuamkia leo. TMH inajihusisha na mambo ya mitindo pamoja na kulea watoto yatima. Hafla hiyo iliambatana na uzinduzi wa ofisi mpya za TMH iliyopo Msasani Village karibu na ubalozi wa Marekani  jijini Dar es salaam
 Khadija Mwanamboka akipozi na baadhi ya  wageni wake
 Furaha ya kutimiza miaka mitano
 Wadau wa TMH
 Keptein Gadna G Habash ndani ya nyumba
Keki ikakatwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. TMH Mje Moshi hapa eneo la posta pana watoto wako katika mazingira hatarishi - ama ni yatima ama vp- NGO hapa hazijawaona mje nyie mfanye kitu tofauti - kila siku Dar dar dar dar - hata huku mikoani kuna haja mje - kuna mitindo na hizo shuhuli nyenginewe pia! This time fanyni kitu tofauti na wengi!

    ReplyDelete
  2. TMH hongera kwa kutimiza miaka 5:

    Sasa ila hiyo kutoa picha ya mkata keki huku kichwa kikiwa kimekatwa ndio adabu gani?

    Ina maana mkata keki hakustahili?

    Kwa nini asikate huyo anaestahili?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...