An Noor Community Centre ikishirikisha Madrassatul Noor Leicester ya UK inafuraha kuwaalika Waislamu wote nchini UK

Katika HAFLA (Fundraising Dinner) kwa ajili ya chakula cha kuchangia ununuzi wa jengo kwa ajili ya Msikiti, Madrasa na Maktaba ya Kiislamu

Hafla hiyo itafanyika kwa utaratibu ufuatao:

SIKU NA TAREHE:                Jumapili 20 Mei 2012
PAHALA:                                            Leicester Exhibition Centre, 203 Belgrave Road,LE1 3HT
MUDA:                                                Saa kumi na moja jioni hadi saa Nne usiku (5.00pm-10.00pm)

Kadi zinapatikana mlangoni siku ya hafla
Wanawake na watoto £15, Wanaume £25
Kama unapenda kuchangia ila hutaweza kuhudhuria, tafadhali waweza kutuma mchango wako kwa akaunti ifuatayo:

Bank: LLOYDS TSB
Account Name: Madrassatul Noor Leicester
Account Number: 45127768
Sort Code:                  30-94-97

Kwa walio nje ya nchi:

International Account Details:

LOYDGB21029

Iban:  GB27LOYD30949745127768

Shime tushirikiane kufanikisha mradi huu wa kheri. Kumbuka, Mwenye kuchangia ujenzi wa nyumba ya Allah, Allah atamjengea nyumba ndani ya pepo yake adhimu.

Kwa maelezo zaidi juu ya project hii, tafadhali wasiliana na:

MWENYEKITI WA JUMUIA            -Mohammed OMAR +44 790 397 8481
MAKAMU MWENYEKITI                -Abdul DAU                +44 779 210 4495

AN NOOR COMMUNITY CENTRE
CHARITY NUMBER 1146906

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2012

    Sasa wakristo, marastafari, bahai bahaula, singa singa,pagani NK, hawatakiwi kuja kwenye makutano hayo?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2012

    hao uliowataja wote si waalikwa kwahio HAWARUHUSIWI, wanaotakiwa ni waislamu tu wewe ulieuliza hivi kama hufahamu kiswahili sema tukueleweshe kwa lugha gani unayiifahamu wewe

    hapa tulipo sisi tunazungumza lugha zote za dunia hii kwani tumekuandikia kwa lugha ya taifa kiswahili fasaha sana ila bado twakuona unakigugumizi cha ufahamuji

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 21, 2012

    Mwenyezi Mungu (SWT) awafanyie wepesi ili muweze kufanikiwa Insh'Allah

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...