SARAH  LUTHER  GELLEGE
1962----2011
Ilikuwa siku,wiki,mwezi na sasa leo mama ni mwaka 1 toka ulipotutoka bila kutarajia tarehe 04th May 2011 saa 12 jioni pale Tumaini Hosp.Upanga.

Kwakweli pengo uliloliacha KAMWE halitazibika. Kimwili haupo nasi lakini tunaamini kiroho tupo pamoja. Tulikupenda sanaaaa mama lakini MUNGU anakupenda zaidi!!


Hatuna la zaidi, zaidi ya kumshukuru sana tu MUNGU kwani neno lako linatufundisha kumshukuru MUNGU kwa kila jambo!


Unakumbukwa sana na wanao Luther(Mtua), Lamson(Ipyana) na Ruth.Pia unakumbukwa sana na dada'ko,kaka'zo,wadogo'ko,wifi'ko,wanao,wajukuu'ko,ndugu,jamaa na marafiki. Pia wateja wako na majirani wanakulilia mpaka kwani wanamiss ucheshi wako na mafundisho'ko n.k.
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake Lihimidiwe.



AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2012

    R.I.P Mama mdogo, tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi, hakika tutaendelea kukukumbuka na kuzienzi busara zako mpaka siku tutakayokutana Mbinguni tukiimba na kuzunguka pamoja na Malaika.
    Mazila

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 04, 2012

    Poleni sana ndugu na familia kwa kupoteza mtu mpenzi kwenu na jamii yane.
    Hiyo ndio kudra yake Mwenyezi Mungu.... ametutangulia tu na sie sote hatuwezi kuepuka safari hii. RIP.

    Nina uliza huyu marehemu ana uhusiano gani na Mr. Luther Martin Gellege, ni classmate wangu, class of 1969... Dodoma Alliance Sec School.
    Je huyu mzee bado yupo? Kuna simu ninayoweza kumpata?
    Asanteni na samahani kwa usumbufu. Pia poleni tena kwa msiba wa mpendwa wenu.
    Mungu amuweke pema peponi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...