Jumuiya ya Watanzania Uholanzi inapenda kuwaalika Watanzania wanaoishi Uholanzi kwenye hafla ya "Siku ya Muungano 2012 (Muungano Day 2012)" itakayofanyika tarehe 19 Mei, 2012, Utrecht (Pahud de mortangesdreef 63-67, 3562 AB Utrecht). Tunategemea uwepo wa Balozi wa Tanzania.

Shughuli itaanza saa kumi jioni. Kiingilio ni bure lakini watakaohudhuria wanaombwa kuwataarifu waandaji kupitia barua pepe: ifoza@ifoza.nl, au simu:             +31 (0) 62 640 3360      . Soma kipeperushi kwa taarifa zaidi.

Tunatanguliza shukrani za dhati kwa ushirikiano wenu.

Ifoza Foundation & TANE (Tanzanian Association in the Netherlands).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...