Mchezaji wa Mchezo wa Pool kutoka Timu ya Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO) Mkoani Iringa ,Alen Masebo akijitayarisha kupiga mpira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa Vyuo vya Elimu ya Juu yanayoendelea hivi sasa katika vyuo mbali mbali nchini.Mashindano haya yanadhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Safari Lager.
Mchezaji wa Mchezo wa Pool kutoka Timu ya Chuo Kikuu cha Tumaini Mkoani Iringa,Raphael John akipiga mpira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa Vyuo vya Elimu ya Juu yanayoendelea hivi sasa katika vyuo mbali mbali nchini.Mashindano haya yanadhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Safari Lager.
Baadhi ya Viongozi wa mchezo wa Pool Mkoa wa Iringa pamoja na wahamasishaji wa mchezo huo katika Mkoa huo wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Naibu Meya wa Mkoa wa Iringa,Mh. Gervas Ndaki (kulia) akisalimiana na washiriki wa mchezo wa pool kabla ya kuanza kwa mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Safari Lager.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...