Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wa Tanzania Dkt Shaaban Mwinjaka ( Wa nne kutoka kushoto waliokaa) akiwa na Wajumbe wa Mkutano wa Jumuiya za kikanda za Afrika zinazojadiliana kuhusu ushirikiano wa ki uchumi kati ya jumuiya hizi za Afrika na wenzao wa Ulaya kupitia mkataba wa Ubia wa Ki uchumi (EPA). Mkutano huu ni wa kwanza kwa mwaka huu, uliandaliwa na Tume ya Umoja wa Afrika kwa kushirikiana na Jumuiya ya Afrika Mashariki na kufanyika mjini Arusha Tanzania mwishoni mwa wiki.
Home
Unlabelled
MKUTANO WA EPA WAMALIZIKA JIJINI ARUSHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...