Alhajj Maalim Hassan Sheikh Yahya Hussein,anayo furaha kubwa kuwaalika nyote Katika Dua ya kumrehemu Sheikh Wetu Sheikh Yahya Hussein Itakayosomwa siku ya Jumapili 20/05/2012 (kesho) ikiwa ni Mwaka mmoja toka kufariki kwake.

Shughuli hiyo itafanyika kwenye Msikiti wa Manyema uliopo Mtaa wa Mafia na Lumumba jijini Dar es Salaam,kuanzia Saa Saba mchana baada ya Swala ya Adhuhuri.

Kufika kwako ndio ukamilifu wa Shughuli hiyo. 

Tunatanguliza Shukurani zetu za dhati kwa kufika mapema.

Maalim Hassan Yahya Hussein

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2012

    Huyu baba aliwahi kuniambia kitu na kikanitokea.Sijui kama alikuwa amenipa moyo tu au alijua kweli sijui.

    MOLA AMWEKE MAHALA PEMA PEPONI

    MALISA K.J (BG)

    ReplyDelete
  2. Mwenyeez Mungu amrahamu, amghufirie kwa yote na amuondolee adhabu za qabri, amlaze pema peponi - AMEEN.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...