Naibu Meya wa Mji wa Hiroshima Mhe. Aramoto akimsindikiza Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anne makinda kwenda kuweka Shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Wananchi wa Japan waliopoteza Maisha katika Mlipuko wa Bomu la Atomiki lililolipuliwa katika mji huo tarehe 6 Agosti, 1945.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...