Viongozi wa G-8 wakiwa Camp David nchini Marekani walipata nafasi ya kuangalia fainali za kombe la mabingwa Ulaya wakati Chelsea wakiwafunga Bayern Munich na kutwaa ubingwa. Anayeshangilia ni Waziri Mkuu wa Uingereza Bw David Cameron akisaidiwa na Rais Barak Obama wa Marekani. Kiongozi wa Ujerumani Mama Angela Merkel haamini kinachotokea...
Home
Unlabelled
wakuu wa G-8 washuhudia Chelsea ikinyakua ubingwa wa Ulaya 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...