Meneja Huduma wa Airtel, Hilda Nakajumo akitoa maelezo kwa Mkuu wa Biashara wa Benki ya Africa, Wasia Mushi kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na Airtel katika onyesho kikundi cha Dar Choral Society lililodhaminiwa na Airtel katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
| Baadhi ya waimbaji wa kikundi cha Dar Choral Society wakiimba katika onyesho la lililodhaminiwa na Airtel katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam |
Kikundi cha muziki wa taratibu (classic) cha Dar Choral Society kikitoa burudani katika onyesho la muziki huo lililodhaminiwa na Airtel katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wanamuziki wa Dar Choral Society wakiwa kazini katika onyesho lililodhaminiwa na Airtel katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Mtaa wa Shaaban Robert, Dar es Salaam
Waliohudhuria onyesho la kikundi cha muziki cha Dar Choral Society wakishangilia katika onyesho hilo lililodhaminiwa na Airtel katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel Tanzania, Irene Madeje Mlola (kushoto) akizungumza na baadhi ya watu waliohudhuria onyesho la kikundi cha muziki cha Dar Choral Society lililodhaminiwa na Airtel katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam






HONGERA MDAU KWA KUTUSHIRIKISHA HABARI HIZI MUHIMU, KWAKWELI SASA TANZANIA TUNA UKUMBI MZURI SANA WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA NA NDIO WAKWANZA TANZANIA. MDAU UKUMBI HUU NI WA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UTAMADUNI (The Museum and House of Culture Dar NA SI MAKUMBUSHO YA TAIFA. NATUMAINI WALE WENYE NIA YAKWELI YAKWENDA KUPANDA MAJUKWAA YA WENZETU MAJUU SASA WANAPAKUANZIA.
ReplyDelete