Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi London to Sydney ni mbali kuliko Dar to London, maana kwa Emirates hayafiki hata masaa 20 yaliyotajwa!!
ReplyDeletewenzenu wako mbaaaali. Manyani tumeshindwa hata kuunda baiskeli ya aina yetu.
ReplyDeletemasaa 4 ??? !!!!! Michu, yaani unafika safari yako sawa ,lakini masikio yote yatakuwa yameziba, hawa wazungu tatizo lao hawatosheki na maendeleo. Zebedayo msema ukweli.
ReplyDeleteHivi ungo unaweza kutumia muda gani? We need to be scientific! otherwise Africa will remain as spectators in the fast pace world!
ReplyDeleteEnheee
ReplyDeleteMadege haya na sisi tujitahidi tuyapate ingawa kwa sasa tupo ktk mwendpo wa Kobe wa Videge vya kukodi!.
Kwa nini isiwe?
Wakati mtaji tunao gas na mafuta ndio hivyooo kibindoni!
Kilichobaki ni kuweka Sera ya maana kwa Rasilimali zetu na kuwadhibiti Mafisadi tu!
Narudia tena kwa nini isiwe???
Anonymous wa mwanzo .... swali lako, are you really serious? If you are basi hii elimu ya UPE na waalimu wa UPE matokeo yake ni kiumbe kama wewe!!!!
ReplyDeleteSomo la jiografia ulikuwa unaingia darasani kweli?
Au mwalimu wako wa UPE alichanganyikiwa pia?