Africa to the Euros rescue...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2012

    Ankal, this one has made my day:-)

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2012

    The European Union didn't want to learn a lesson from the Soviet Union rouble. They thought rouble failed due to socialist ideology. but in actual fact, rouble was in a better position to succeed than Euro, at least rouble had a central bank to decide on fiscal and monetary policies and interest rates, this which lack in the Eurozone.

    Euro fails because the European Union doesnt have a unified monetary and fiscal policies ontop, Europe have more than 25 different National Parliaments to drive economic policies it was dead on arrival.

    Good luck Eurozone, at least you tried:-)

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 20, 2012

    This is hilarious.It looks like a hectic roadside resuscitation effort, or more like a resurrection effort..I like the steam irons going to be used for defibrillation? Seriously, the Euro is tottering on the brink of collapse,its symptomatic of capitalism dying.There is for one thing, unsustainable and unrealistic distribution of wealth.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 20, 2012

    Mawazo ya Gado au ya Eurocentricity?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 21, 2012

    Wajaribu kumkabidhi huyo mgonjwa kwa huyo abra kadabra hapo pembeni waone kama hata anza kumsearch huyo mgonjwa mfukoni kwanza.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 21, 2012

    Because African you are a Magician and a good Witch Doctor,,,may be you can try your chance to help us through your 'INVISIBLE' ways in case we fail in our 'VISIBLE' methods !

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 21, 2012

    Hahaha,

    Ewe Mwafrika Mkonongo Mipango ya fedha huiwezi, baki na mipango yako ya Misukule na Ramli za majivi kuchora chini kwa vidole na kwa kurusha juu maharage matatu makavu!

    Washua Wazungu Wwana tapa tapa na hakieleweki sasa wewe kwa Mahepe na Manyau nyau yako utaweza?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 21, 2012

    Achilia Mwafrika huyo hapo!

    Hao hao miongoni mwao Waulaya wazungu wametofautiana sana, Mjerumani, Mfaransa na Mholanzi wanafuta jasho za vipara kutafuta suluhisho la fedha na uchumi wakati mwenzao Mwingereza mawazo yake yapo kwenye zipu ya suruali yake!

    Kama mnavyoona sera za Mwingereza katika Diplomasia yake na mashariti ya Misaada!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 21, 2012

    Ha ha ha , this is fact and hilarious ....

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 21, 2012

    Wewe uanyetaka kutoa msaada na hirizi zako mabegani utaweza kweli hapo?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 21, 2012

    Duniani kila mmoja na majaliwa yake,

    Fedha na Uchumi wa kawaida sio eneo letu, sisi ni mafundi katika sekta zifuatazo:

    1.Kuongeza Bahati,

    2.Nguvu za Kiume,

    3.Nyota za Biashara,,,bila ushindani wala mbinu za Ujasiriamali.

    4.Kumvuta mpenzi 'ndele'

    5.Kupanda cheo,,,bila masomo

    6.Kumfunga mtu asing'are

    7.Kumweka mtu msukule

    8.Kufuga majini na mazindiko

    9.Kusafiri na ungo

    10.Chuma ulete,,,ndio Uchumi na mpango wa ki-fedha tunaoutegemea pekee!

    ......!!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 21, 2012

    We anany wa juu hapa,kumsechi mifuko ni muhimu ili kuondoa vitu ambavyo vinaweza kumfanya kuwa uncomfortable kama vile simu,pochi nakadhalika

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 21, 2012

    Wewe ulieshika kiuno unaeuliza mwenye mkia wa ng'ombe mkononi na kapu la tunguri begani sasa utafanya nini hapo?

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 21, 2012

    From Mnyamwezi

    Ni kweli, wameparaganyika hata katika hatua hii wanapokabiri mauti. Kama sala hazitasaidia, basi hakika watajaribu hata juju. Unajua falsafa ya kikaragosi hiki ni kubwa sana. Inaonekana watu wa Ulaya wame-panic na wana nia ya dhati ya kurejesha uhai wa EURO. Naona Angela Merkel kashika moyo kabisa:-(.
    Lakini 'AFRICA' na MZUNGU aliyeshika pasi, wote ni wageni kutoka nje ya EURO zone. AFRICA yuko confident kweli kwamba watashindwa, anawasubiri wamwombe. Inaonekana kama Merkel anataka kuomba msaada AFRICA. Merkel over looked yule MZUNGU mwenye pasi, nadhani anahofu kwamba ana nia ya kummaliza EURO. Mwenye pasi siyo kwamba anamshangaa AFRICA kuwa anaweza, bali anaogopa 'AFRICA' asimu wahi kummaliza EURO:-).

    Kipanya? HONGERA, FALSAFA KUBWA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...