Home
Unlabelled
manispaa ya ilala yaanza kupendezeshwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ujinga mtupu hivi huwa wanakosa vitu vya kupendezesha?
ReplyDeletewaweke hata maua mazuri na maji yawe yanaruka juu huku yanamulikwa na taa za rangirangi kutapendeza hata usiku
hapo usiku giza likiingia hakuna lolote wekeni mataa ya rangi na maji ya kuruka juu.
safi... angalua ukimuelekeza mtu unamwambia... pale kwenye mduara wa mamba.. kata kulia.. tehe tehe
ReplyDeleteImependeza sana, sema tu hizi electric cables zilizohanikiza hewani ndio huwa zinaharibu mandhari.
ReplyDeleteHalahala biashara ya vyuma chakavu!
ReplyDeleteHizi zitakawia kusombwa na wezi wa chuma chakavu kweli?
ReplyDeletesasa inabidi walindwe na umeme hao twiga wa mabati maana waheshimiwa wa vyuma chakavu watakuja kuwafyagia muda si mrefu
ReplyDeletedula maandazi
wasiwasi wangu juu ya mateja kuiba kama vifaa chakavu si unajua ankali?
ReplyDeletechokoraa ni chokoraa tuu,hebu tujaribu tuone ikipita mwezi bila kuhujumiwa basi tumefanikiwa
wakishakula % zao wanazitelekeza hizo vitu, mpaka machizi wanapanda wanaharibu nobody cares!!
ReplyDeletehuu ni mradi wa wajanja tuu. remember signs za barabarani katikati ya jiji? remember mbango ya no parking? kuna mwingine akaweka bango la usifanya biashara hapa, pale salender bridge ambapo hapajawahi kuwa na wafanya biashara.
ufisadi mtupu!!
hala hala.. ndugu zetu wa kununua vyuma chakavu wasije pitia malighafi hizi... tujifunze kutunza jiji letu na kuachana na mila potofu za kudharau na kutojali...
ReplyDeleteGharama zilizotumika hapo sijui dola ngapi?
ReplyDeletempaka hapo mmekwishatumia bilioni ngapi au tiliomi ngapi? na tuwaongeze ngapi kukamilisha mradi?
ReplyDeleteLeo nimepita nimeona kuna mtu anamwaga maji machafu, hayo mawe yameshageuka rangi na kuwa meusi, Kaka Michuzi hebu waambie waweke ilani watu wasimwage maji machafu, hivi wamehsindwa kuweka maua? na maji yanayoruka kama mdau wa juu alivosema , haya na waosha magari ndio sehemu yao ya kumwaga maji machafu wewe pita uone kaka Michuzi Tanzania bhhana ! ah
ReplyDeleteMaji ya kuruka ndo umeona bomba sana ?? na huyo uliyemuona anamwaga maji taka pale ,wewe kama mzalendo ulimwambia nini ?? akili za wengine sijui vipi-mmekalia kulaumu tu kila kukicha -ningependa kuona unavyoishi ndugu yangu maana watu kama nyie ni mzigo tu wa taifa-lawama haziwaishi vinywani mwenu. kingine -hilo neno Fisadi litumieni vizuri-maana kila kitu sasa hivi ni Fisadi-get over with man. Zebedayo
ReplyDeleteHapo kwa kuwa zimetengenezwa kwa vyuma utaambiwa zimetumika BILIONI 100 !
ReplyDeleteHapo 'material' imechaguliwa iwe ni CHUMA ili wazito wakiongeza masifuri watu wasiulize!
ReplyDeleteMfano Ujenzi halisi ni Tsh,1,000,000 hapo kwa vile ni vyuma zinaongezeka koma koma (,) na sifuri tatu (3) mwisho na hiyo moja mwazo inafuatiwa na sifuri mbili (2).
Mnafikiri gharama za maisha Mabosi wanazimudu vipi?
Kwa kuwa ni vyuma udhibiti ni rahisi tu ni kutegesha umeme!
ReplyDeleteTANZANIANS why cant you just appreciate things???Thats just BEAUTIFUL..Please tuleteeni pale kawe roundabout moja wapo. INAPENDEZA SANA!
ReplyDeleteWe mchangiaji wa mwanzo kabisa kwako mapambo ni maji ya kuruka juu na maua tu basi? Mbona ubunifu huu unapendeza kabisa? Cha msingi ni ulinzi na matunzo ya hayo mapambo. Na sie pia tuache uchafu wetu,inawezekana kabisa jiji kuwa safi na kupendeza.
ReplyDeleteMjomba ujuwe dunia inaendelea kwa watu kuwa wabunifu siyo kwa watu kuiga kila
ReplyDeletekitu maji yanayoruka tumesha ya zowea kama kunguru weusi
watu waje na vitu vingine na siyo kisa maji yanaruka sehmu fulani nao waweke
Me niwapongeze wawe wabunifu zaidi sd20k@yahoo.com
hizo waya za umeme zinaharibu zingetolewa zipite pembeni ya magorofa sio katikati ya bara bara ukipiga picha mawaya yanaonekana. halafu walinzi wawe walio izunguka hilo duara yeyote atakae haribu chochote wanamkamata.
ReplyDeleteHAO WANYAMA WANGEWEKEWA MAJANI KUONYESHA UKIJANI NA MAUA, MAJI YA KURUKA KAMA WALIVYOSEMA WENGINE, VINAPENDEZESHA HATA MACHO KUONA. HAPO BADO NI KUISHIA VYUMA CHAKAVU TU.
ReplyDeleteTumetumia ka milioni 700 tu.
ReplyDeleteShukran
We mdau unayesema waweke maji ya kurukaruka.... kwani Dar au Tanzania kuna keep left moja tu? si viko vingi hivyo si vyote vifanane..
ReplyDeletehapo wameepuka gharama za maintanance... bustani na maji ya kurukaruka ni gharama kuzitunza
Watanzania na wabongo wote hatujui mandari nzuri wala usafi. mzungu anajenga na kusafisha barabara ya Morogoro road pale Manzese usiku pamemwagwa marundo ya taka katika katika ya sehemu ambapo dongo la barabara limekwishawekwa sasa. Utamaduni wetu ni uchafu, nao ni ufisadi mkubwa.
ReplyDeleteSio wabunifu ni cut and paste, nenda zambia (Lusaka) on the way to airport utaziona hizi kibao. Tembo, Nyati.... so there is not much of discovery, ila am proud of the guy who convinced these big guys to add some values
ReplyDeletegreat!!!!!
Bora hata kama siku hizi wa TZ MNAJUA KUKOPI NA KUPEIST NI MAENDELEO MAKUBWA
ReplyDelete