Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Mhe.Novatus Makunga (wa pili kushoto) leo amefanya ziara katika makao makuu ya jeshi la polisi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na kuongea na askari polisi wa wilaya hiyo.Pichani mkuu huyo wa wilaya akiwasili akisindikizwa na mkuu wa polisi wilayani hao OCD Isaya Mbughi na maofisa wengine. Pichani chini na askari mbalimbali wakitoa maoni yao katika mkutano wao na mkuu huyo wa wilaya



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 13, 2012

    Bro Novatus. Karibu Hai. Sisi wananchi wa Hai tutakupa ushirikiano kamili ili tuendeleze wilaya yetu. J. Swai.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 13, 2012

    Mpiganaji Makunga. Tuko pamoja!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...