Image Profession (iP), inatarajia kutangaza muhula wa pili wa mashindano ya uchoraji yenye nia ya kuchochea tabia za kupenda kujihusisha na sanaa ya uchoraji na kuibua vipaji vya uchoraji.Mashindano yatashindanisha washiriki kutoka Taasisi za kielimu kwa makundi manne:-

1. Shule za awali/Nusery Schools
2. Shule za Msingi/Primary Schools
3. Shule za Sekondari/Secondry Schools
4. Taassi za Elimu ya Juu/Higher Learn Institutions

Tunakusanya maoni ya namna nzuri ya kuboresha mashindano haya na kuyafanya yawe ya kuvutia na washiriki wengi zaidi katika makundi husika.

Kwa ushauri,maoni na mapendekezo tuwasiliane kwa
Barua Pepe:info@imageprofession.com
Simu Office: +255222664740 begin_of_the_skype_highlighting            +255222664740      end_of_the_skype_highlighting
Simu Kiganja: +255716430084 begin_of_the_skype_highlighting            +255716430084      end_of_the_skype_highlighting,+255766248372 begin_of_the_skype_highlighting            +255766248372      end_of_the_skype_highlighting au +255653029037 begin_of_the_skype_highlighting            +255653029037      end_of_the_skype_highlighting

Wasalam
Fredrick N.Roy
Image Profession
Mratibu wa Mashindano
P.O.Box 92
Dar es salaam
Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...