Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais wa Zanzibar anayeshughulikia Fedha Uchumi Mipango ya Maendeleo, Omar Yussuf Mzee (pichani) akiwasilisha mwelekeo wa Bajeti ya Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013 ambapo makadirio ya mapato na matumizi ni Sh.bilioni 648.9.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais wa Zanzibar anayeshughulikia Fedha, Uchumi , Mipango na Maendeleo, Omar Yussuf Mzee (kulia) akitoa taarifa ya mwelekeo wa Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mwaka 2012/2013 kwa wandishi wa habari kwenye ukumbi wa ofisi yake Vuga mjini Zanzibar jana.Picha na Martin Kabemba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...