mchezaji namba 7 wa timu ya mbeya stanley Kadumu akipokea zawadi ya
mpira kutoka kwa msimamizi wa michezo ya AirtelRising Stars kutoka
DRFA Daudi Kanuti mara baada ya kufunga mabao 3 katika mechi ya nusu
fainali thidi ya timu ya Ilala
Timu ya wavulana mbeya ikishangia ushindi baada ya kuifunga ilala mabo
5-2 katika mchezo wa nusu fainali ya michuano yaAirtel Rising Stars 
Timu ya wasichana wa Mbeya wakifurahia ushindi katika mechi za nusu
fainali za Airtel Rising Star zilizofanyika leo ambapo mbeya imeifunga
Ilala kwa penati mabao 3-2

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...