Mwanahabari wa siku nyingi wa kampuni TSN inayochapisha magazti ya Daily News na Habari leo,Athuman Hamis (katikati) amekutana na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuzungumzia Mustakabali wa maisha yake kutokana na hali yake ya ulemavu alioupata kutokana na ajali ya gari miaka minne iliyopita.Kulia na Kushoto ni Wauguzi wake.

Video ya taarifa yake nzima aliyoitoa leo kwa waandishi wa habari itawajia muda si mrefu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2012

    Ndg. Athumani Hamis Mchawi wa HATIMA YA MAISHA YAKO SI MWINGINE BALI NI BOSI WA MASUALA YA UAJIRI HAPO DAILY NEWS!

    Hatuwezi kuwa na Utawala Bora kwa kuwa na Mabosi kama huyo wa Daily News!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2012

    Kuteseka kwa Ndugu Hamis...Hivi huyo Bosi wa TSN Taasisi ni ya Baba yake?

    KWA NINI ASICHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA KWA KUKALIA HAKI ZA MSTAAFU?

    TENA MTUMISHI AKIWA AMEKOMA UAJIRIWA KTK HALI NGUMU YA MASAHIBU YA AJALI KAMA YALIYOMFIKA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...