Misa ya mazishi  ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Bodi ya Utalii nchini Tanzania  (TTB), Marehemu Peter Mwenguo, itafanyika leo Alhamisi tarehe 21/06/2012, saa sita mchana katika  kanisa la St Peter, Oysterbay,  jijini Dar es salaam. 

Kwa mujibu wa familia ya marehemu, baada ya misa hiyo kutakuwa na kutoa heshima za mwisho katika viwanja vya KarimnjeeHall  (sio tena  kanisani hapo kama ilivyotangazwa awali).  Mabadiliko haya yamefanywa ili kuruhusu watu wengi wafike kutoa heshima za mwisho kwa gwiji huyu wa mambo ya utalii.
Baadaye msafara utaelekea katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam  kwa mazishi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2012

    Peter, You were such a good friend to many. May the Almighty God Rest your Soul in Eternal Peace, Amen. from Ernest Mnzava

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 21, 2012

    We who had the opportunity to work with peter in Europe he was a great man and a man og God . He served his country well in terms of marketing and preserving the name of Tanzania abroad. RIP
    Ayoub mzee

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 21, 2012

    POLENI SANA WAFIWA,BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIHIMIDIWE,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...