Mke wa Rais NaMwenyekiti wa Taasisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete akizungumza kwa kusisitiza jambo wakati wa Ufunguzi wa Kampeni ya Matibabu ya ugojwa wa Fistula uliofanyika leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya CCBRT,Dkt, Wilbroud Slaa.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA,akiwa amemshika mtoto mchanga baada ya kukabidhiwa na wazazi wake baada ya ushuhuda walioutoa wakati nwa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wa Matibabu ya Fistula- Tanzania ,katika viwanja vya Mnazi mmoja leo.kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya CCBRT Dk, Wilbroud Slaa.
Afisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT Erwin Telemans akitoa maelezo wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wa Matibabu ya FISTULA Tanzania ,leo katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar eSalaam , Uzinduzi rasmi umefanywa na Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (alievaa kilemba cheupe) akisikiliza maelezo ya ugojwa wa Fistula kutoka kwa Muelimishaji katika kitengo cha Mama na Mtoto (CCBRT) Seraphina Faya (kushoto) kabla ya Kuzindua Kampeni ya Uhamasishaji wa matibabu ya Fistula Tanzania leo jijini Dar es salaam,Pichani kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya CCBRT Dkt, Wilbroud Slaa.

kwa picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2012

    Hivi festula ni ugonjwa gani? tafadhali naomba nifaahamishwe.
    Asante.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2012

    ni ugonjwa gani huu tena hebu tufahamisheni please, bongo yetu leo hii imekuwa jalala la kila aina ya magonjwa duu nastaajabu sana mungu atusaidiye sana amin

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2012

    Fistula is one of the cruel and devastating complication of neglected childbirth.The woman usually has suffered hours or days of obstructed labour,and not often the child is also lost. The woman is left with a "hole" that leaks urine and faeces.She suffers terrible psychological trauma and often she is abandoned by husband and family because of harufu ya mikojo na choo.God what life and how they need help.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...