Spika wa Bunge Makinda akifungua rasmi semina iliyoandaliwa na Chama Cha Majaji wanawake Tanzania kwa baadhi ya Majaji wanawake na Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala katika Hotel ya St. Gasper Dodoma leo.
Baadhi ya washiriki wa Semina hiyo wakimsikiliza Mgeni rasmi Mhe. Spika.
Mhe Spika akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wote wa Semina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...