Katika kujiimarisha zaidi na kuongeza uzoefu wa mechi ngumu, timu ya Biafra Kids ilipokea na kukubali mwaliko wa kucheza na timu ya kombaini ya mkoa wa Kinondoni ambao wameteuliwa kutoka katika timu mbalimbali zilizoshiriki michuano ya Copa Coca Cola kwa vijana walio chini ya umri wa miaka 17 kanda ya Kinondoni. Mechi hiyo iliyochezwa katika viwanja vya Tanganyiksa Packers Kawe, siku ya J'mosi tare 9 Juni, 2012 illisha kwa Biafra Kids kupoteza mchezo huo baada ya kufungwa mabao 2 - 1.
KIKOSI CHA BIAFRA KIDS
KOMBAINI YA KINONDONI
Kocha wa Biafra Kids William Masika (kushoto) akiwa na viongozi wa Kombaini
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...