MWENYEKITI WA TANZANIA MITINDO HOUSE KHADIJA MWANAMBOKA AKIELEZEA KAZI MBALIMBALI ZA TANZANIA MITINDO HOUSE KATIKA KONGAMANO LA BIASHARA -TANZANIAN AMERICAN BUSINESS CONFERENCE LILILOFANYIKA MJINI HOLLYWOOD,CALIFORNIA
KHADIJA AKIWA NA WADAU WA KITANZANIA KUTOKA MJI WA ATLANTA
KHADIJA AKIWA NA BALOZI WA TANZANIA MAREKANI MHE MWANAIDI MAJAAR PAMOJA NA WAANDAAJI WA KONGAMANO HILO KUTOKA KAMPUNI YA TIGU INC

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2012

    This was one of its kind...Tanzanians are moving ON..vikao vya kula nyama choma na kupiga umbea vinaisha sasa...hawa jamaa walio organise hii wamefanya kazi nzuri sana...Ilikuwa sherehe ya heshima sana kwa watanzania..kuzungumzia maendeleo na opportunities zilizopo nchini kwetu...I Love TIGU....!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2012

    Safi sana! Tukiendelea hivi tutawafikia watani wetu wa jadi (nchi jirani) na hata kuwapita. Wakenya ni hodari sana wa kuitangaza nchi na bidhaa zao. Nakubaliana na mdau aliye-comment kwanza kabisa hapa juu: Watanzania tuache or at least tupunguze vikao vya umbeya na porojo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 13, 2012

    Tena ni Jambo la muhimu kuwapongeza saaana Wadau wa Mitindo ambao wamekuwa ni mhimili mkubwa na matumaini ktk kutangaza Biashara zetu Ughaibuni!

    Ni wakati sasa wa kuamsha hata aina zingine na bidhaa za Tanzania kuzitangaza mfano:

    1.MADINI
    2.VYAKULA VYA TIBA ASILIA KWA AFYA
    3.RASILIMALI ZA MALIASILI
    4.UWEKEZAJI
    5.BIASHARA NDOGO NDOGO
    6.VIFAA VYA JADI VYA KAZI NDOGONDOGO (NYUNGO,VIBUYU,VINU,MICHI, VITENDEA KAZI)
    7.UTAMADUNI

    N.K.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...