Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2012

    Mzazi: Mwanangu karibu tena nyumbani, imekuwa miaka mingi sana hatujaonana, habari za masiku,na za mjini?

    Mwana: Nashukuru sana baba. Mimi simbao na mjini ni kwema tu. Nimefurahi kuja kuwasalimia, imekuwa muda mrefu kwa kweli. Haya, habari za nyumbani?

    Mzazi: Tupo tu. Miguu tu hii. Haya, mnatunyima nini mjini?

    Mwana: Mambo ya kimjini tu, zaidi ya hapo hakuna lolote baba.

    Mzazi: Hivi unajishughulisha na nini hasa huko.

    Mwana: Muda wote huu nimekuwa nikipiga tarumbeta baba.

    Mzee: Ama!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2012

    Mzee Hoza namkubali,ndie mwanziishi wa mataruumbeta kwenye maharusi na sherehe,hazeeki huyu...toka miaka kama 20 iliyopita mpaka leo na bado anatisha..duuuhhhh!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...