Naibu Waziri Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe.Stephen Maselle (kulia) akipokewa na Mhe. Jaji Mark Bomani, alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya Kamati ya Rais ya Kuishauri Serikali kuhusu usimamizi wa sekta ya madini kwa manufaa ya taifa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2012

    Mhe. jaji Mark Bomani,

    Kazi yako inajulikana na nia yako ni njema juu ya hatma ya Wananchi wa Tanzania na Taifa letu.

    Kilichobaki ili kuwamilikisha Wananchi kwa rasilimali zetu na kutokomeza Umasikini pamoja na Ukuaji wa Uchumi uakisi kuamka kwa hali za watu na kwenda na MDGs (Millenium Development Goals)

    Mambo haya hapa chini ni muhimu:
    -----------------------------------
    1.(Hifadhi za Jamii:NSSF,PSPF,LAPF,GEPF)
    -----------------------------------
    KUIMARISHA SHIRIKA LA HIFADHI YA JAMII NA KUWAFIKIA WANANCHI WOTE WA TANZANIA.
    -----------------------------------
    2.(Uhakiki wa Vitambulisho vya Raia na Watu:NIDA)
    -----------------------------------
    SUALA LA VITAMBULISHO VYA TAIFA PAMOJA NA MFUMO KAMILI WA E-GOVERNMENT PORTAL HADI NGAZI ZA CHINI ZA MITAA.
    -----------------------------------
    3.(Mitaji na Mfumo wa Masoko ya Hisa)
    -----------------------------------
    KUZIINGIZA RASILIMALI ZETU ,GAS,URANIUM,TANZANITES,GOLD,DIAMONDS,NICKEL,STEEL,COPPER, NA ZINGINEZO ZIWE KTK MFUMO WA MITAJI(CAPITAL) NA MASOKO YA HISA(STOCK EXCHANGE), HUKU KUKIWA NA UDHIBITI WA VITAMBULISHO NA UHAKIKI WA WANANCHI KWA KUPITIA HIFAHDI YA JAMII ILI ZIWEZE KUWAFIKIA NA KUMILIKIWA NA WANANCHI.

    Hapo kwa hatua tatu (3) kwa uhakika zaidi ndio Ukuaji wa Uchumi kupitia mavuno ya Rasilimali za nchi zitaakisi kuwafikia wananchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...