Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Agnes Mgeyekwa akizungumza katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume.
Katibu Msaidizi wa Tume (Mapitio) Angela Bahati akizungumza katika Baraza hilo, kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala wa Tume Bw. Noah Mwaikuka.
Katibu Msaidizi wa Tume (Utafiti) Adam Mambi akichangia katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa TUMESHERIA Dar es Salaam.Picha na Munir Shemweta.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...