Rais wa Tanganyika Law Society(TLS) Mh. Fransis Sitola (wa pili kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na  Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na haki za Binadamu(LHRC)Dk Hellen Kijo Bisimba na mawakili mbalimbali wakiwa nje ya Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu baada ya kutoka  Mahakamani mjini Arusha leo kusikiliza kesi waliyoifungua dhidi ya serikali ya kupinga uamuzi wa Mahakama ya Rufaa kupinga mgombea binafsi.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2012

    Huu ni wakati muafaka. hongera sana. Sio watanzania wote tunaamini vyama vya siasa. Sheria inaruhusu kila mtanzania kugombea nafasi ya uongozi. Mgombea binafsi atawezesha watanzania wengi zaidi kugombea uongozi bila kubeba kashfa za vyama mbalimbali. Chaguzi ndogo zitapungua sana kukiwa na independent candidates. Hii ndio demokrasia ya kweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...