Add ![]() |
| Yanga kids mwaka 1972 na kocha wao Mzee Kwala (kushoto) |
Veteran wa Yanga Kids wakiwa na mwenzao Kassim Manara (mbele shoto) ambaye karudi likizo nyumbani baada ya kuwa ughaibuni kwa miaka 25
| Veteran wa Yanga toka shoto Saad Mateo, Athumani Kilambo na Kitwana Manara na Mzee Nyumbani |


.jpg)
yaani Michu hii imetoka safi sana , hapa kama hatujifunzi ,kwamba miaka inapita kama upepo na miaka inatubadilisha kila kukicha .Swali la kujiuliza je ? ni wangapi katika hao yanga kids ambao leo ni mababu, wameifanyia nini miaka yao ???? Zebedayo,msema kweli.
ReplyDeleteBab kubwa inapendeza, kweli Manala ni mtu mkubwa bongo,wanakuchezea tu Wabelgium hapa Antwerp rudi kaka tukupe timu ya taifa uiongoze, kwene maziwa na Asali (Luckson Antwerp.
ReplyDelete