Waandesha pikipiki za kubeba abiria a.k.a wazee wa Bodaboda wakiwa katika Kituo cha Polisi, Kilwa Road, Jijini Dar es Salaam baada ya kuwapeleka watu ambao wanawatuhumu kuwa ni miongoni mwa kundi linalojihusisha na uporaji pikipiki zao maeneo ya Mtoni Mtongani.
Mmoja wa waendesha pikipili kama alivyokutwa na kamera ya blogu hii leo asubuhi.Picha na Nathan Mpakangala wa Komic First Blog..
poa sana kamateni wezi hao wanaopenda vya bure
ReplyDelete