: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akiwa kwenye mahojiano na Hadija Riyami wa idhaa ya Kiswahili ya Radio Vocie of America kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akiwa kwenye picha ya pamoja na mtangazaji wa Kipindi cha Televisheni cha Voice of America cha Infocus Africa Bw. Vincent Makori mara baada ya mahojiano ya dakika 45. Mahojiano hayo yatarushwa kwenye vipindi vya Infocus ndani ya mwezi wa Juni na Julai.
  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akipiga picha na Hadija Riyami wa idhaa ya Kiswahili ya Radio Vocie of America kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania, mkutano wa AGOA na masuala mengine yahusuyo bara la Afrika.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akipiga picha na Mwamoyo Hamza wa idhaa ya Kiswahili ya Radio Vocie of America kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania, mkutano wa AGOA.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa VOA na Afisa Mawasiliano wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC mara baada ya mahojiano kuhusu ziara ya Marekani.
 Afisa Habari wa Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani akiwa kwenye picha ya pamoja na mtangazaji wa Kipindi cha Televisheni cha Voice of America cha Infocus Africa Bw. Vincent Makori mara baada ya mahojiano ya dakika 45. Mahojiano hayo yatarushwa kwenye vipindi vya Infocus ndani ya mwezi wa Juni na Julai.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akiongea na Mkuu wa Programu na Utangazaji wa SHirika la Utangazaji la VOA mara baada ya kufanya mahojiano na idhaa ya kiswahili radio na televisheni kipindi cha InFocus Africa. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2012

    Makori unakula nini uzeeki? Hongera sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...